Una mawazo mazuri sana, ni kweli huyu dada anampenda jamaa kupita kiasi ndiyo maana ameshindwa kuolewa na mwanaume mwingine.usitufiche bado unampenda.. nimeng'amua hilo.. lkn ktk akili yako unatakiwa utambua huyo ni mtu hatari kwako!,unapenda kuishi na mtu hatari ktk maisha yako..?
najua hupendi usiache upendo wako ukakulaghai..
mtoto ni wenu,mwache mtoto amjue baba ukweli ataujua akikuwa mwache asome
Asante ushaur wako ni mzuri tena wenye hisia.. Kuhusu kumpenda ilinichukua miaka minne kuamini Kama kweli sipo nae Tena kimapenzi na nlikonda nkaisha... Nkaamua kumng'oa moyon kwa nguvu tena bila ya ganzi.. Kilichotokea sasa ni kuwa siyo yeye Simpendi kiumbe awaye yote aitwe mwanaume na automatically nmekuwa mwenye hasira linapokuja swala la mahusiano ya kimapenziusitufiche bado unampenda.. nimeng'amua hilo.. lkn ktk akili yako unatakiwa utambua huyo ni mtu hatari kwako!,unapenda kuishi na mtu hatari ktk maisha yako..?
najua hupendi usiache upendo wako ukakulaghai..
mtoto ni wenu,mwache mtoto amjue baba ukweli ataujua akikuwa mwache asome
NotedHahaaaa CCM? Hahaa yaan umenigusa penyewe hapo kwenye uchama Kwel ana roho ya korosho
PoaAsante dear
Na usipokuwa makini huyu jamaa atakuja kukuua, bado unampenda sana tena kupita kiasi. Be careful utakufa na huyo mtt wako atapata shida zaidi, Mungu amekusaidia umepata kibarua usivyo na akili umeanza kumuwaza mtu ambaye hana nia njema na wewe.Alikua kwangu zaid ya MUME na nmtazapo mwanetu roho yangu huzimia ila Simpendi tena kuja alale kifuan pangu.. It's over
Well speaking dear... Asante Sana for your considerationkarma has no menu,he gives u what u deserve
plz usiwe kama mke wa Ruthu utageuka mwamba wa chumvi,move on never luk back,
Honest is valuable thing don't expect from the cheap people
ulizaliwa peke yako ,utakufa peke yako, huruma zilimponza punda wa dobi akaliwa na simba mzee

Najua hukulenga kunitusi uliposema sina akili na yes nlirajiria maneno km haya ila what i need is a better consultation from you guys kuhusu mtoto wetu na sio babake kwan I've the decision kuhusu hilo na pengine ninapo share na ninyi ndugu zangu mnaweza nifungue zaid ya niwazavyo.. Ila to be honest and frank with you darling I'm disappointed with that language you used in this comment do not call me mjinga pls darlingNa usipokuwa makini huyu jamaa atakuja kukuua, bado unampenda sana tena kupita kiasi. Be careful utakufa na huyo mtt wako atapata shida zaidi, Mungu amekusaidia umepata kibarua usivyo na akili umeanza kumuwaza mtu ambaye hana nia njema na wewe.
I love no body now even if mbingu zifunguke and tells me to...Hicho Ndio kitu kinachoniumiza akili.. Huyu mtoto anauliza kuwa MI naitwa (Suzanne Benedict.. Siyo jina halisi) lkn mbona simuon baba huyo Benedict na shulen wenzangu baba zao wanakujaPole sana dada. Tatizo katika mambo haya ya mahusiano ya aina hii wanaoumia na kuathirika ni watoto. Kuna watu humu mtaandika na kutokwa na mapovu bila ya kujua maumivu na athari alizopata huyo mtoto. Nakuomba dada yangu piga moyo konde kwa sababu ya huyo mtoto wetu. Mpe nafasi ya kumjua baba yake,sina maana ya kwamba mrudiane kimapenzi...la hasha! Ila msamehe ili mtoto wetu apate malezi bora ya wazazi wawili hata kama hamuishi pamoja. Watoto huwa wanaathirika sana sana sana.
