saidi yakoub
Member
- Nov 1, 2015
- 21
- 22
Habari zenu,
Mimi ni kijana ambaye nimemaliza kidato cha nne mwaka 2007. Nilibahatika kupata div 4 ya point 26 nilipata C tatu.
Sikubahatika kuendelea advance nikaamua kujishughulisha na biashara ndogondogo, huwa nafanya biashara ya mazao na huwa napata mpaka milioni 20 kwa mwaka, tatizo langu ni kwamba sina ujuzi wa kuiendeleza biashara yangu na mimi nataka biashara inayoendana na wakati.
Je nifanye nini ili niendeleze biashara yangu na jee kwa elimu yangu nisomee kitu gani ili niwe mjuzi wa biashara isinipige chenga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana ambaye nimemaliza kidato cha nne mwaka 2007. Nilibahatika kupata div 4 ya point 26 nilipata C tatu.
Sikubahatika kuendelea advance nikaamua kujishughulisha na biashara ndogondogo, huwa nafanya biashara ya mazao na huwa napata mpaka milioni 20 kwa mwaka, tatizo langu ni kwamba sina ujuzi wa kuiendeleza biashara yangu na mimi nataka biashara inayoendana na wakati.
Je nifanye nini ili niendeleze biashara yangu na jee kwa elimu yangu nisomee kitu gani ili niwe mjuzi wa biashara isinipige chenga?
Sent using Jamii Forums mobile app