Msaada wa uhamisho wa Chuo

Msaada wa uhamisho wa Chuo

buyoya419

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
631
Reaction score
512
Nina dogo langu ameng'ang'ania kusomea ualimu amemaliza six ila hajafikisha point za kuchaguliwa degree

Nikaamua nimuombee vyuo vya ualimu vya kuanzia certificate na amechaguliwa Mpwapwa tc

Hivi inawezekana akaomba uhamisho wa chuo ahamie chuo kingine kama hivyo vya tc labla vikindu tc
 
Nina dogo langu ameng'ang'ania kusomea ualimu amemaliza six ila hajafikisha point za kuchaguliwa degree

Nikaamua nimuombee vyuo vya ualimu vya kuanzia certificate na amechaguliwa Mpwapwa tc

Hivi inawezekana akaomba uhamisho wa chuo ahamie chuo kingine kama hivyo vya tc labla vikindu tc
Akasome foundation OUT alaf mwakan anaingia degree
 
Akasome foundation OUT alaf mwakan anaingia degree
Acha dogo asome vyuo vya kati. OUT ata toka mweupe tu.

Msaidie mtoa mada kuhama vyuo vya kati kwenda kingine.
Ushauri wangu. Nenda chuo unacho kipenda wewe. Ongea na Mkuu wa Pale au Admission Officer, kama nafasi zipo mbona simple coz ana selection tiyari.

Pili, acha mtoto asome mazingira tofauti kama sababu za kuhama siyo za Ki Afya.
 
Back
Top Bottom