PastorA
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 361
- 275
Habari za jioni wapendwa, kwa heshima na taadhina ninaomba mchanganuo na ufafanuzi kwa mtu mwenye uelewa juu ya utumaji wa bidhaa ,
Ninaadhimia na kupenda sana kupanua soko langu langu la Nafaka mfano MAHARAGE, MCHELE, KUNDE,MBAAZI .
MAHINDI.n.k
Katika nchi mfano South Africa, Dubai au nchi za EAC
Naomba msaada kwa yyte anaefahamu au kujua namna yyte , au mwenye experience ata kama yupo katika moja ya nchi nilizo zitaja naomba sana uni PM au pia kwa faida ya wengi waweza ainisha hapa
Asante kwa umakini wenu, watu wa Biashara.
Ninaadhimia na kupenda sana kupanua soko langu langu la Nafaka mfano MAHARAGE, MCHELE, KUNDE,MBAAZI .
MAHINDI.n.k
Katika nchi mfano South Africa, Dubai au nchi za EAC
Naomba msaada kwa yyte anaefahamu au kujua namna yyte , au mwenye experience ata kama yupo katika moja ya nchi nilizo zitaja naomba sana uni PM au pia kwa faida ya wengi waweza ainisha hapa
Asante kwa umakini wenu, watu wa Biashara.