Msaada wa ufafanuzi kuhusu kubadilisha mashitaka

Jodoki Kalimilo

JF-Expert Member
Feb 12, 2012
12,013
10,170
Jamani wadau wa jukwaa hili...naomba msaada kidogo kuhusu suala langu ambapo kuna mwizi aliruka fence na kuvunja kioo kimojawapo cha dirisha na kuvunja grill kwa lengo la kuingia na kuiba wakati dogo yupo kwenye pilika (mie sikai nio nje ya mji kwani nyumba ni mpya)

Ila wakati anaruka kuna mwanamama jirani alimwona hivyo akawaambia vijana wakaizingira nyumba na kuomba rukhsa kuingia nami nikawaruhusu na wakafanikiwa kumkamata na kumkabidhi kwa kuongozi wa mtaa yaani mwenyekiti na mtandaji kisha dogo. Amepelekwa polisi na amelala siku 3 rumande na leo amepelekwa rumande na amesomewa shitaka la "KUVUNJA DIRISHA KWA NIA YA KUIBA" kesi itasomwa tena wiki ijayo.

Swali langu hilo shitaka hilo juu linatosha ama ilipaswa kuwa KURUKA UZIO (FENCE) NA KUVUNJA DIRISHA KWA NIA YA KUIBA? au kuna shitaka lingine linapaswa kuandikwa badala ya hilo? na je kuna uwezekano wa kubadilisha shitaka? kama kuna uwezekano wa kubadilisha mashitaka ni hatua zipi za kufuata?

Nawashisilisha

CC: Petro E. Mselewa
Dragoon
 
Hapo kuna makosa matatu
Tresspassing, uharibifu wa mali na kujaribu kutenda kosa au tuseme kuwa na nia ovu,trespassing maana yake kuingia Kwenye property Ya mtu bila ridhaa yake
 
Hapo kuna makosa matatu
Tresspassing, uharibifu wa mali na kujaribu kutenda kosa au tuseme kuwa na nia ovu,trespassing maana yake kuingia Kwenye property Ya mtu bila ridhaa yake
Na kuhusu kubadilisha mashitaka je? nikaongezea hiyo hiyo ya kuingia kwenye mali ya mtu pasipo na ruhusa
 
Jamani wadau wa jukwaa hili...naomba msaada kidogo kuhusu suala langu ambapo kuna mwizi aliruka fence na kuvunja kioo kimojawapo cha dirisha na kuvunja grill kwa lengo la kuingia na kuiba wakati dogo yupo kwenye pilika (mie sikai nio nje ya mji kwani nyumba ni mpya)

Ila wakati anaruka kuna mwanamama jirani alimwona hivyo akawaambia vijana wakaizingira nyumba na kuomba rukhsa kuingia nami nikawaruhusu na wakafanikiwa kumkamata na kumkabidhi kwa kuongozi wa mtaa yaani mwenyekiti na mtandaji kisha dogo. Amepelekwa polisi na amelala siku 3 rumande na leo amepelekwa rumande na amesomewa shitaka la "KUVUNJA DIRISHA KWA NIA YA KUIBA" kesi itasomwa tena wiki ijayo.

Swali langu hilo shitaka hilo juu linatosha ama ilipaswa kuwa KURUKA UZIO (FENCE) NA KUVUNJA DIRISHA KWA NIA YA KUIBA? au kuna shitaka lingine linapaswa kuandikwa badala ya hilo? na je kuna uwezekano wa kubadilisha shitaka? kama kuna uwezekano wa kubadilisha mashitaka ni hatua zipi za kufuata?

Nawashisilisha

CC: Petro E. Mselewa
Dragoon
Unataka umbampikize kesi mwenzako
 
Na kuhusu kubadilisha mashitaka je? nikaongezea hiyo hiyo ya kuingia kwenye mali ya mtu pasipo na ruhusa

Upande wa mashtaka utabainisha mahakamani mazingira mazima ya uhalifu.Mheshimiwa hakimu ndio anayetafsiri sheria hivo yeye ndiye atakaye bainisha hapo kuna makosa mangapi kutokana na kanuni ya adhabu (penal code). Sidhani kama una haja ya kuanza kubadilisha mashtaka
 
Unataka umbampikize kesi mwenzako
Mkuu soma maelezo vizuri...nimekuwa muungwana yaani hata gharama za uharibu nimetoa actual pia nyumba ina fence ameruka fence ndipo akaanza kuvunja sasa ndo maana nilidhani issue ya kuruka fence nayo ni muhimu kuwa included maana ikiwa kuvunja dirisha kwa nia ya kuvunja nilidhani mazingira wakati mwingine huwa yanamshawishi mtu kuiba lakini kama kuruka fence maana yake huyo amedhamiria kutenda jambo..hakuna kubambikiwa hapo mkuu nilichofanya kuomba ushauri maana kesi nyingi huwa tunashindwa kwa kutokana na kuandikwa vibaya shitaka ila nashukuru scooman amenipa nondo hapo post #8

Hivyo mkuu permist sina nia ovu ya kumbambikia mtu kesi kwani wamemkamata ndani ya uzio maana aliruka kwa nyuma ya nyumba akidhani haonekani kumbe kuna mtu alim-check (nimefanya hivi kuuliza maana sikuona sababu ya kuendelea na kesi kwa kuwa wazazi wake walinitafuta wanirudishie gharama zangu lakini nimeona wameuchuna hawakunitafuta tena na kesi imefika mahakamani hivyo na mie nimeona nijihakikishie kama kesi ipo vizuri kwani wiki ijayo dogo anapeleka mashahidi)
 
Mkuu soma maelezo vizuri...nimekuwa muungwana yaani hata gharama za uharibu nimetoa actual pia nyumba ina fence ameruka fence ndipo akaanza kuvunja sasa ndo maana nilidhani issue ya kuruka fence nayo ni muhimu kuwa included maana ikiwa kuvunja dirisha kwa nia ya kuvunja nilidhani mazingira wakati mwingine huwa yanamshawishi mtu kuiba lakini kama kuruka fence maana yake huyo amedhamiria kutenda jambo..hakuna kubambikiwa hapo mkuu nilichofanya kuomba ushauri maana kesi nyingi huwa tunashindwa kwa kutokana na kuandikwa vibaya shitaka ila nashukuru scooman amenipa nondo hapo post #8

Hivyo mkuu permist sina nia ovu ya kumbambikia mtu kesi kwani wamemkamata ndani ya uzio maana aliruka kwa nyuma ya nyumba akidhani haonekani kumbe kuna mtu alim-check (nimefanya hivi kuuliza maana sikuona sababu ya kuendelea na kesi kwa kuwa wazazi wake walinitafuta wanirudishie gharama zangu lakini nimeona wameuchuna hawakunitafuta tena na kesi imefika mahakamani hivyo na mie nimeona nijihakikishie kama kesi ipo vizuri kwani wiki ijayo dogo anapeleka mashahidi)
Kaz ya police unaitak uifanye ww kumbe ujue police Hawa mbambiki MTU kesi
 
S
Hapo kuna makosa matatu
Tresspassing, uharibifu wa mali na kujaribu kutenda kosa au tuseme kuwa na nia ovu,trespassing maana yake kuingia Kwenye property Ya mtu bila ridhaa yake
safi sana , vifungu gani vya sheria?
 
Back
Top Bottom