Msaada wa Sponsor wa Elimu

Msaada wa Sponsor wa Elimu

wepson

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
831
Reaction score
219
Habarini wanajamvi bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada husika.
Nimefanikiwa kuchaguliwa katika CHUO KIKUU Kimoja cha SERIKALI hapa Dar. Sasa sina uwezo wa kulipa kiasi chote cha Ada nilichoambiwa.

Je mashirika Kama NSSF na mengine yanaweza nisaidia? Au wapi naweza kupata msaada wa haraka, maana usajili unaanza October 3, 2016.

Naombeni msaada wa mawazo
 
Sijapa sehemu ya kuomba udhamini
 
Pole kaka/dada kama unasoma masters inamaana tayari unashahada au elimu yeyote inayoendana na hiyo, hebu jitafakari kwanza wakati unachukua maamuzi ya kuaply hukujua kama kuna gharama , za masomo? baada ya kumaliza shahada yako ulikuwa unajishughulisha na nini? kama unacho chakuanzia sema tujue umekwama wapi nas tukupe kipi vema kama ungekuwa unaanza degree ya kwanza sawa tungesema kweli msaada wa haraka unatakiwa
 
Hapo umesema uwongo. Sema unaingia mwaka wa 2 Masters maana ndo application za masters zinaishia kupokelewa kwa mwaka wa masomo wa 2016/17.
 
Hapo umesema uwongo. Sema unaingia mwaka wa 2 Masters maana ndo application za masters zinaishia kupokelewa kwa mwaka wa masomo wa 2016/17.
Watu tushapata Admission Letter zetu za UDSM for Masters Programmes. Sijui mwenzetu umeapply wapi
 
Back
Top Bottom