msaada wa simu yangu wana jf aina ya simu ni tecno p5

msaada wa simu yangu wana jf aina ya simu ni tecno p5

MBAKI-MTEULE

Member
Joined
Feb 13, 2015
Posts
8
Reaction score
0
samahani ndugu zangu simu yangu inasumbua upande wa meseji huwa zinaingia bila kikomo unakuta sms ya majuzi niliyosoma na nikajibu inakuwa bado inaendelea kuingia yaan mpaka ninechoka kama kuna mtu anafahamu setting yake ajize wana jf simu yangu ni tecno p5 phone namba yangu 0719560330
 
du...labda huwa zinaonyesha msisitizo!natania tu jamani...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom