Mtanzanyika
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 370
- 424
Wakuu kwema..!! Nina Kijana wangu anatarajia kwenda Form V mwaka huu sasa anataka kusoma mchepuo wa CBN yaani Chemistry, Biology na Nutrition. Mwenye ufahamu wa shule ya private inayotoa mchepuo huo anisaidie... ikiwa ya boarding itakuwa vyema zaidi