Msaada wa sheria kwa wavutaji sigara,bangi hadharani

Luigi Alfred

Member
Mar 17, 2016
66
45
Wanajukwaa nakerwa na tabia hii ya uvutaji was sigara hadharani has a kwenye sehemu za burudani kama mikahawa,baa,n.k .Je ni hatua zipi kisheria unaweza kuchukua dhidi ya RAIA kama huyu? Wengi wanavuta kwa kiburi hata ukimweleza anakuwa mbogo.Bahati mbaya utakuta hata polisi was kitanzania wengi ni wavutaji hivyo kesi ya Ngedere inapelekwa kwa nyani! Msaada was kisheria tafadhali.
1464435554658.jpg
 
Back
Top Bottom