Wana jf habari zenu, kuna kaproject binafsi ninakafanya ka kutengeneza website kwa kutumia jsp na servlet, sasa nikilog out halafu nikarudi back kwa kuclick back button ninaweza kuaccess tena. Naomba anayeweza kunisaidia code ya kufanya nisiweze kuaccess tena baada ya kulog out. Naomba kuwasilisha