Msaada wa scatter file ya vodafone vfd 301

Kaka Haji hata izi vdf 301 uki dump kwa NCK crack inamiss preloader, nmekwisha kujaribu sana but nothing, ila miracle ndio inaweza ku dump kwa jino moja/bin file na likafanya kazi....

mkuu Times9 mm nilfanikiwa ku dump io file ya vfd301 kwa nck na preloader ilikuwepo lakini pia unaweza tumia miracle uka Read file as scatter na ukaichagua io preloader
 
mkuu Times9 mm nilfanikiwa ku dump io file ya vfd301 kwa nck na preloader ilikuwepo lakini pia unaweza tumia miracle uka Read file as scatter na ukaichagua io preloader
Duh! Mkuu basi sijui tatizo ni nini maana mimi nilidump file likawa halina preloader ndio nika read na miracle as .bin file ndio nawashia ivo vi simu.....
 
Download Lipo ila km umei format kwa software haiponi hakuna solution kwasasa
solution ipo...... hakuna kinachoshindikana chini ya jua na file ipo kwenye google inapatikana kwa msaada zaidi nicheck nitakupa mautundu jinsi ya kuipata hiyo FILE SCATTER
PHONE;+255655890949 by dadyashfayna THE GENIUS GSM MOBILE PHONE
 
solution ipo...... hakuna kinachoshindikana chini ya jua na file ipo kwenye google inapatikana kwa msaada zaidi nicheck nitakupa mautundu jinsi ya kuipata hiyo FILE SCATTER
PHONE;+255655890949 by dadyashfayna THE GENIUS GSM MOBILE PHONE
I have got a working Bin file
 

hiyo miracle haiitaji box lake na je unazijua driver za miracle crack
 

please naomba unitumie link ya hii file la vfd 301, nami nimeingia mkenge nimetumia file hz 2, -1- 408mb na -2- 301mb, simu inafungua logo ya vodafone lknmuda wote ina-load tu ktk duara la kuload yaani ni shida man! pls nisaidie tafadhari!
 
please naomba unitumie link ya hii file la vfd 301, nami nimeingia mkenge nimetumia file hz 2, -1- 408mb na -2- 301mb, simu inafungua logo ya vodafone lknmuda wote ina-load tu ktk duara la kuload yaani ni shida man! pls nisaidie tafadhari!
ucku wa leo ntakupa link ya file ambayo ni backup nimefanya mwenyewe na nmeupload on some site... kuwa mvumilivu kidogo
 
ucku wa leo ntakupa link ya file ambayo ni backup nimefanya mwenyewe na nmeupload on some site... kuwa mvumilivu kidogo

HELLO NDUGU! ASANTE KWA KUONYESHA MOYO WA KUNISAIDIA NA PIA KUWA TAYARI KUTOA MSAADA, SAMAHANI LKN, WAKATI NASUBIRI MAJIBU NILIKOMAA KUENDELEA KULITAFUTA HATIMAYE NILILIPATA HIVYO NIKA-FLASH SIMU NIKO HEWANI ASANTE SANA KWA KUNIJALI, ILA BADO NATAFUTA FLASH FILE TA TIGO: Y3_PLUS-H721A2-KK-TZTG-LC-161010V2, PLEASE KAMA KUNA MTU ANALO. NAOMBA MSAADA!
 
sawa mzee
 
wakuu mwenye link ya hyo firewere ya vodafone 301 naomba anitumie na mm sim yang inaishia kwenye logo
 
jamani me ni mgeni hum JF hv mlipataga orignal flash file ya vodafone vfd 300
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…