Msaada wa salary slip

mkuu ni kitu cha uhakika?
Mbona kuna wengine wananikatisha tamaa wanasema hiyo huduma siku hizi imesitishwa?
Hakuna malipo yoyote yanayo hitajika?

ndugu yangu hilo jambo nina uhakika muhimu uijue cheque number yako, mi mwenyewe nishawahi kwenda kuchukua hakuna shida yeyote na huduma hii ni bureeee
 
ndugu yangu hilo jambo nina uhakika muhimu uijue cheque number yako, mi mwenyewe nishawahi kwenda kuchukua hakuna shida yeyote na huduma hii ni bureeee

Shukran sana mkuu, ngoja nifanye mpango niende manake nimechoka kuzungushwa na kupewa hadithi zisizo na mashiko.
 
ndugu yangu salary slip ni mhimu sana nenda hazina na barua ya utambulisho kutoka kwa mwajili wako,kuhusu kitambulisho ni haki yako, lakini kuna ulasimu mkubwa kwenye halimashauli nyingi wa kutoa kitambulisho,mwandikie barua mwajili wako ni bure
 
nenda wizara ya fedha/hazina dsm kitengo cha mishahara ya watumishi ukiwa na cheque number yako pamoja na kitambulisho chako ni kazi ya less than 5 minutes
Tahadhari: Ushauri huu ni mzuri ila mleta mada jihadhari na hizi 5 minutes mkuu alizosema, andaa siku zako 2 za kufuatilia hiyo issue hazina ikitokea umeikamilisha ndani ya siku moja ni vizuri zaidi.
 
Tahadhari: Ushauri huu ni mzuri ila mleta mada jihadhari na hizi 5 minutes mkuu alizosema, andaa siku zako 2 za kufuatilia hiyo issue hazina ikitokea umeikamilisha ndani ya siku moja ni vizuri zaidi.

Mkuu usimtishe akienda asubuhi haifiki saa nne tayari atakuwa na salary zote.
 
bongo tamu sana aiseee hapo wajanja wametumia jina lako kuombea mkopo ndio maana wanakuzungusha
 
Mkuu usimtishe akienda asubuhi haifiki saa nne tayari atakuwa na salary zote.
Simtishi ila ni afadhali abajeti kulala siku 2 mjini kuliko siku 1 then asifanikiwe na budget yake ni ya siku 1. Kuna unnecessary delay (uzembe) nyingi ktk ofisi nyingi za serikali. Anyway, Jaribu mkuu pengine ukafanikiwa kwa dakika kadhaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom