habari WANA jamvi,nimeinstalll microsoft office vizuri kabisa,na ina kila kitu ikiwemo power point program,lakini kila nikijaribu kufungua mafile yaliyopo ktk format ya ppt ina kataa kabisa,ingawa nikitaka kuandika power point inawezekana.nimeshindwa kuelewa nifanyaje.
natumia window 7 ultimate incase inahitajika kufahamika
natumia window 7 ultimate incase inahitajika kufahamika