SWALAMA WADAU!
Nina play station 2 ambayo inanisumbua sana maswala ya lense. inaharibika mara kwa mara na fundi anaenitengenezea naona haeleweki.
Naomba nijuzwe kama kuna mtu anaemujua fundi mzuri. Na pia bei ku chip ili iweze kutumia flash(ma game ya kwenye flash)
Nina play station 2 ambayo inanisumbua sana maswala ya lense. inaharibika mara kwa mara na fundi anaenitengenezea naona haeleweki.
Naomba nijuzwe kama kuna mtu anaemujua fundi mzuri. Na pia bei ku chip ili iweze kutumia flash(ma game ya kwenye flash)