chaz beezz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 217
- 841
Habari Wana Jamiforums natumani mko poa kabisa.
Kuna ndoto moja ina inanitesa Sana nimeona bora leo nilielezee hapa jukwaani angalau niweze kupata ufafanuzi kidogo kuhusiana na ndoto hii ninayo ota ikijirudia Mara kwa Mara kila Napo lala usiku.
Nimuda Sasa yapata Kama miaka Saba tangu nihitimu elimu ya sekondari lakini licha ya muda mrefu kidogo kupita tangu nimemaliza kidato Cha nne nimekua nikiota ndoto zikionesha kuwa nimerudi shule nasoma pia mazingira ya shule ni yale yale walimu wanafunzi wenzangu pia niliosoma nao ni wale wale.
Kiufupi naota ndoto hii imekua ikijirudia Sana na siku zinavyozidi kwenda nazidi Kuota hii ndoto na chaajabu ndoto hii uonesha kua nimerudi shule na wenzangu nimekuta wanaendelea na masomo Kama kawaida huku me nikionekana nilikua mtoro sihudhurii masomo yanayoendelea kwa Sasa katika kipindi icho ambacho Mimi nipo uraiani nimeshamaliza shule.
NB.
- Ndoto zote naota nipo tu sekondari wala sio shule ya msingi ama chuo
- Ndoto nyingi huwa naota nikiwa katika kipindi Cha kutaka kuadhibiwa wa mwalimu au kuhaibishwa mbele ya wanafunzi wenzangu
- Kwa mwezi naweza ota mara2 hadi tatu ndoto za aina hiyo ya kurudi shule.
kwa anaejua maana ya ndoto hii wakuu anisaidie tafsri yake Nini na kwanini ijirudie Mara kwa Mara ndoto Aina moja, inanitesa Sana kiukwel wakuu nakosa Raha naposhtuka usingzini baada ya Kuota ndoto hii na kichwa uwa kizito Sana. Nifanyeje ili niweze ondokana na ndoto hii?
Kuna ndoto moja ina inanitesa Sana nimeona bora leo nilielezee hapa jukwaani angalau niweze kupata ufafanuzi kidogo kuhusiana na ndoto hii ninayo ota ikijirudia Mara kwa Mara kila Napo lala usiku.
Nimuda Sasa yapata Kama miaka Saba tangu nihitimu elimu ya sekondari lakini licha ya muda mrefu kidogo kupita tangu nimemaliza kidato Cha nne nimekua nikiota ndoto zikionesha kuwa nimerudi shule nasoma pia mazingira ya shule ni yale yale walimu wanafunzi wenzangu pia niliosoma nao ni wale wale.
Kiufupi naota ndoto hii imekua ikijirudia Sana na siku zinavyozidi kwenda nazidi Kuota hii ndoto na chaajabu ndoto hii uonesha kua nimerudi shule na wenzangu nimekuta wanaendelea na masomo Kama kawaida huku me nikionekana nilikua mtoro sihudhurii masomo yanayoendelea kwa Sasa katika kipindi icho ambacho Mimi nipo uraiani nimeshamaliza shule.
NB.
- Ndoto zote naota nipo tu sekondari wala sio shule ya msingi ama chuo
- Ndoto nyingi huwa naota nikiwa katika kipindi Cha kutaka kuadhibiwa wa mwalimu au kuhaibishwa mbele ya wanafunzi wenzangu
- Kwa mwezi naweza ota mara2 hadi tatu ndoto za aina hiyo ya kurudi shule.
kwa anaejua maana ya ndoto hii wakuu anisaidie tafsri yake Nini na kwanini ijirudie Mara kwa Mara ndoto Aina moja, inanitesa Sana kiukwel wakuu nakosa Raha naposhtuka usingzini baada ya Kuota ndoto hii na kichwa uwa kizito Sana. Nifanyeje ili niweze ondokana na ndoto hii?