Habari wanajf! Nina mpango wa kununua mashamba ili nijenge nyumba kwani kama mnavyofahamu viwanja vilivyopimwa havipatikani sana na ni ghali sana hasa mijini.
Ninaomba anayejua hatua za hadi kupata hati milki anijuze tafadhali.
Ninaomba sana msaada wenu juu ya hilo.
Ninaomba anayejua hatua za hadi kupata hati milki anijuze tafadhali.
Ninaomba sana msaada wenu juu ya hilo.