IqraNI
Senior Member
- May 16, 2020
- 140
- 136
Habari ya jumapili wadau.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, ninaomba msaada wenu tafadhali.
Nina dada ambaye ana umri wa miaka 19(lakini kimuonekano anaonekana ni mkubwa), lakini dada huyu hajui kazi za ndani iwe kuosha vyombo, kupiga deki au kupika.. Alipofika alielekezwa majukumu yake na akasema anayaweza.
Changamoto nyingine kubwa ni kuwa yuko bize mno na simu, kuchat na kuongea.. Mahali alipo kuna mabinti wengine lakini wana soma na mmoja anashughuli binafsi hali inayopelekea kukosekana msaada nyumbani kwani kuna mgonjwa anayehudumiwa na mtu mwingine na anahitaji uangalizi wa karibu.
Naomba mniwie radhi kwa uandishi ila ninahitaji sana msaada wenu.. Natanguliza shukrani.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, ninaomba msaada wenu tafadhali.
Nina dada ambaye ana umri wa miaka 19(lakini kimuonekano anaonekana ni mkubwa), lakini dada huyu hajui kazi za ndani iwe kuosha vyombo, kupiga deki au kupika.. Alipofika alielekezwa majukumu yake na akasema anayaweza.
Changamoto nyingine kubwa ni kuwa yuko bize mno na simu, kuchat na kuongea.. Mahali alipo kuna mabinti wengine lakini wana soma na mmoja anashughuli binafsi hali inayopelekea kukosekana msaada nyumbani kwani kuna mgonjwa anayehudumiwa na mtu mwingine na anahitaji uangalizi wa karibu.
Naomba mniwie radhi kwa uandishi ila ninahitaji sana msaada wenu.. Natanguliza shukrani.