Liborio
Member
- Feb 7, 2017
- 69
- 37
Mkopo Poa Ndgu zangu.... Mwenye uwelewa kuhusu simu ya Iphone. Kifupi nimeletewa iphone na mtu anashida na pesa... Alinipatia ikiwa inawaka na kuzima kwahyo sikuwa na uwezo wa kuikagua... Baadaye nikatafuta mtu mwenye cm aina ile nikaweka chaji ikawa fresh.... Sasa tatzo ni kwamba ina Password ya Number nifanyaje na Angali yulee Jamaa ameshachukua 40000 yangu.
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app