Mgimilamaganga
JF-Expert Member
- Mar 31, 2019
- 266
- 257
Habari za muda huu wana JF.
Bila kupoteza muda,naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Naomba kufahamishwa juu ya utaratibu mzima wa kutuma maombi ya kazi kwenye mashirika ya umma hasa hili la TPA ambao wametangaza nafasi kadhaa za kazi.
Mimi nimeona naimudu kazi ya Security kwani sifa na uzoefu wa zaidi ya miaka miwili wa kufanya kazi hizo ninao.
Si kwamba naomba kuelezwa namna ya uandishi wa barua bali nahitaji kujua kama ni lazima hizo barua nizipitishe serikali za mtaa kama yafanyavyo mashirika binafsi au niandike tu nakuambatanisha na wasifu wangu.
Msaada wenu ni muhimu sana ndugu zanguni
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kupoteza muda,naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Naomba kufahamishwa juu ya utaratibu mzima wa kutuma maombi ya kazi kwenye mashirika ya umma hasa hili la TPA ambao wametangaza nafasi kadhaa za kazi.
Mimi nimeona naimudu kazi ya Security kwani sifa na uzoefu wa zaidi ya miaka miwili wa kufanya kazi hizo ninao.
Si kwamba naomba kuelezwa namna ya uandishi wa barua bali nahitaji kujua kama ni lazima hizo barua nizipitishe serikali za mtaa kama yafanyavyo mashirika binafsi au niandike tu nakuambatanisha na wasifu wangu.
Msaada wenu ni muhimu sana ndugu zanguni
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app