Gazaniga
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,051
- 360
Habarini wadau
Niliformat laptop yangu majuzi hapa ila CD niliyotumia kuiformat haikuwa genuine hivyo hii niliyotumia nitaweza kuitumia kwa siku 30 tu,kulingana na ujumbe unavyosomeka
Kupata windows Activation keys najua ninapaswa kununua kwani kwny laptop sina, ILA niliambiwa kuwa kuna namna ya kucrack kwa software ya kudownload....kwa Anayejua please anisaidie.
NASHUKURUNI.
Niliformat laptop yangu majuzi hapa ila CD niliyotumia kuiformat haikuwa genuine hivyo hii niliyotumia nitaweza kuitumia kwa siku 30 tu,kulingana na ujumbe unavyosomeka
Kupata windows Activation keys najua ninapaswa kununua kwani kwny laptop sina, ILA niliambiwa kuwa kuna namna ya kucrack kwa software ya kudownload....kwa Anayejua please anisaidie.
NASHUKURUNI.