sima salva official
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 210
- 89
Msaada wana jf nahitaji kumtumia e mail mh. Rais mwenye nayo anisaidie maana nimechoka na haya mambo yanayofanywa na watu wachache ambao hawajali watu wengine tafadhari mnisaidie
Chukua gari za kutoka hapo ulipo... Nenda hadi ubungo... Alafu chukua daladala ziendazo magogoni....Msaada wana jf nahitaji kumtumia e mail mh. Rais mwenye nayo anisaidie maana nimechoka na haya mambo yanayofanywa na watu wachache ambao hawajali watu wengine tafadhari mnisaidie