Nigependa kujua ni mtanda upi I.e tigo-pesa, airtel-pesa, vodacom-mpesa etc unatao huduma bora kama vile kuunganisha bank account and account yako ya simu kama nilivyoeleza hapo juu
swali la mwisho
je Tigo pesa and Mpesa zinauwezo wa kupokea / kutoa pesa toka western union?
:israel:
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us