kunamambo mengi sana hapa....mume alikuwa dini gani? Alioa mke wa kwanza kwa sheria gan? Waliachana kwa taratbu za kimahakama, yaani talaka ilitolewa ama la? Maisha yake wakati wa kufa yalikuwaje? Ameacha wosia wowote? Walijengaje na huyo mke wa pili, nani alitoa nin.