young ricky
Senior Member
- Aug 24, 2018
- 161
- 164
SafiKupandia tikiti na hoho tumia mbolea aina ya NPK kila shimo weka 5gram ekari moja ina ukubwa wa square mita 4000 hivyo kwa tikiti ukipanda spacing ya 1M× 1M utapata mashimo 4000 hivyo piga mahesabu kuwa utatumia kg ngapi kwa ekar kwa mahesabu hayo ekari moja utatumia 25kg hivyo ekari 3 utatumia 75 kg sawa na mfuko mmoja na nusu hivyo utatakiwa ununue mifuko 2 kilo 25 zitabaki