white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,618
- 13,890
una uhakika kuwa kwenye vyuo vyote ulivyotaja wao hawatumii mfumo wa GPA??acha kupotosha watuUmedisco UDSM?? UDSM hii hii niijuayo..??
Acha uzembe dogo...
Nenda CBE, TIA, TEKU. UDSM ni chuo rahisi sana ni uzembe kudisco kwa system ya GPA...
Haukupata supplimentary hata moja? Kama ni kweli wewe unaonekana ulicheza na shule 2nd semister[/QUOTE
semister ya 2 ndo nimezingua mkuu mana nina fail 2 na carry 1
semister ya 2 ndo nimezingua mkuu mana nina failled course 2 na carry 1Haukupata supplimentary hata moja? Kama ni kweli wewe unaonekana ulicheza na shule 2nd semister
Ni uzembe kudisco hasa kwa mfumo wa GPA..una uhakika kuwa kwenye vyuo vyote ulivyotaja wao hawatumii mfumo wa GPA??acha kupotosha watu
Mfumo gani ni halali kudiscoNi uzembe kudisco hasa kwa mfumo wa GPA..
Una disco vipi chuo? Tena udsm? Sasa ingekua SUA ingekuaje? Alafu ukute ulikua unasoma kozi za arts au education!!Mimi ni mwanafunzi hapo UDSM mwaka wa kwanza kwa bahati mbaya matokeo yangu hayakua mazuri kwa sababu mbalimbali kwaiyo nimedsco. Nilikua naomba msaada wa mawazo wanabodi...
1. Je!!, nikubaliane na matokeo nifanye ishu nyingine za maisha na je nianzie wapi..
2.Au nifanye mchakato wa kuappeal, na uo utaratibu wa kuaappel unakuaje.
NATANGULIZA SHUKURANI
Acha urongo wewe unadhani Sua ndo chuo kigumu sana!? Unaijua departmental gpa ya Conas wewe? Watu wanadisco na migpa mikubwa tu pale kisa departmental gpaUna disco vipi chuo? Tena udsm? Sasa ingekua SUA ingekuaje? Alafu ukute ulikua unasoma kozi za arts au education!!
Ukijiloga kuapply utapotezo muda wako maana ushakiri ulifeli kwa uzembe wako! Mtaani usithubutu kugusa maana jiwe kaharibu kila kitu...
Acha urongo wewe unadhani Sua ndo shule ngumu sana kuliko hapo Udsm? Unaijua departmental Gpa ya Conas wewe pale watu wanadisco na mi gpa mikubwa tu kisa departmental Gpa
Fanya fasta apply kozi ingine hapo hapo udsm uanze upya... Shukuru ume disco mwaka wa kwanza unge disco mwaka wa tatu au nne ndio ungetia akili!!
Ila watu humu kichwani kama hazipo vile kwa hyo mtu anafeli Bsc udsm atashindwa CBE wanaosoma simultaneous equations chuo kikuu sasa kwa taarifa yako kuna mtu alidisco tena Duce akakimbilia CBE aliibuka ni best student yupo Bot nowKama umefeli UDSM huwezi faulu popote, hivyo nakushauri ufanye mambo mengine kuokoa muda, kusoma kupo tu. Ingia informal sector upige pesa
Alibadilisha koziIla watu humu kichwani kama hazipo vile kwa hyo mtu anafeli Bsc udsm atashindwa CBE wanaosoma simultaneous equations chuo kikuu sasa kwa taarifa yako kuna mtu alidisco tena Duce akakimbilia CBE aliibuka ni best student yupo Bot now