Nyaubikra JF-Expert Member Joined Sep 21, 2019 Posts 1,715 Reaction score 4,135 Jan 6, 2025 #21 Poor Brain said: Kijana naona anambwela Click to expand... Me nikisema kesho naoa hata nikiwa sina suti ntavaa hata jeans nioe mana mda ni mchache. We hujaenda hata nchi kumi duniani then unamsikiliza mwanamke.
Poor Brain said: Kijana naona anambwela Click to expand... Me nikisema kesho naoa hata nikiwa sina suti ntavaa hata jeans nioe mana mda ni mchache. We hujaenda hata nchi kumi duniani then unamsikiliza mwanamke.
Q Quencher JF-Expert Member Joined Jun 19, 2024 Posts 1,231 Reaction score 3,674 Jan 6, 2025 #22 Atakumulia nani wa kuja kwako na nani asije, Nani umsalimie na nani umchunie Nani wa kumsaidia na nani wa kumpotezea Mwanaume umeumbwa kuongoza sio kupelekwa kama ling'ombe Wewe ni dhaifu sana
Atakumulia nani wa kuja kwako na nani asije, Nani umsalimie na nani umchunie Nani wa kumsaidia na nani wa kumpotezea Mwanaume umeumbwa kuongoza sio kupelekwa kama ling'ombe Wewe ni dhaifu sana
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,494 Reaction score 55,143 Jan 8, 2025 #23 Nyaubikra said: Me nikisema kesho naoa hata nikiwa sina suti ntavaa hata jeans nioe mana mda ni mchache. We hujaenda hata nchi kumi duniani then unamsikiliza mwanamke. Click to expand... Utumbo mtupu πππ
Nyaubikra said: Me nikisema kesho naoa hata nikiwa sina suti ntavaa hata jeans nioe mana mda ni mchache. We hujaenda hata nchi kumi duniani then unamsikiliza mwanamke. Click to expand... Utumbo mtupu πππ