billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,444
- 1,647
Wakuu nakuja kwenu hapa,nikiwa na ombi la ushauri na maoni kwa kijana wangu.
Ipo hivi na kijana wangu (mdogo wangu), ambaye anataka kujiunga na masters (masters of art in revenue law and custom) ,je wakuu mna ushauri gani kuhusu dogo,asome hiyo au ailipi?
Wajuzi wa mambo karibuni.
Ipo hivi na kijana wangu (mdogo wangu), ambaye anataka kujiunga na masters (masters of art in revenue law and custom) ,je wakuu mna ushauri gani kuhusu dogo,asome hiyo au ailipi?
Wajuzi wa mambo karibuni.