kitoto wa vitoto
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 360
- 386
Pokeeni salamu zangu za dhati ndugu zangu wapambanaji wenzangu na polen na majukumu ya kutwa nzima ya Leo.
*Mimi ni kijana niliyetoka katika familia duni na isiyo jiweza kiuchumi lakin Nina ndoto za kufuta historia ya ya umaskin katika familia yangu kwa siku za mbeleni.
Kwa maana hiyo ni lazima nipambane kw bidii na juhudi pamoja na nidhamu ya Hali ya juu, nina wazo kuna idear ya jambo Moja nadhani nikifanikisha nitatoboa kwa urahisi. Nataman ninunue eneo la heka Moja kwa makadirio ni umbali wa km 6 kutoka Arusha mjini.
Baada ya kununua
Changamoto ni kwamba Sina mtaji na kwa project yangu Hadi kuanza kutengeneza faida nahitaji kias Cha million 16 je nazipataje?
Kuna mtu namtegemea,
Naomben wataalamu mnisaidie kwa hili.
Mbarikiwe sana.
*Mimi ni kijana niliyetoka katika familia duni na isiyo jiweza kiuchumi lakin Nina ndoto za kufuta historia ya ya umaskin katika familia yangu kwa siku za mbeleni.
Kwa maana hiyo ni lazima nipambane kw bidii na juhudi pamoja na nidhamu ya Hali ya juu, nina wazo kuna idear ya jambo Moja nadhani nikifanikisha nitatoboa kwa urahisi. Nataman ninunue eneo la heka Moja kwa makadirio ni umbali wa km 6 kutoka Arusha mjini.
Baada ya kununua
- Nifuge nguruwe 50 na kuku wa mayai 1000
- Sungura, Bata aina zote, njiwa, simbilisi mbuzi
- Na ng'ombe wa gredi Kama 3
- Kwa muda wa miaka 3 Nina huhakika wa kurudisha hela na na faida juu hata Kama mambo yatakuw tofauti na wazo langu.
Changamoto ni kwamba Sina mtaji na kwa project yangu Hadi kuanza kutengeneza faida nahitaji kias Cha million 16 je nazipataje?
Kuna mtu namtegemea,
- Sijui nitumie mbinu gani kuandaa project yangu
- Ili nikimpelekea aweze kuniunga mkono
- Au taasiai yake iniunge mkono
- Ndio maana nipo hapa
Naomben wataalamu mnisaidie kwa hili.
Mbarikiwe sana.