Venas_Hb
New Member
- Jul 20, 2021
- 3
- 1
Msaada wa Mawazo
Nimemaliza Form 6 mwaka juzi ila nikaona nijiegeshe katika baishara kwa muda, kwa sasa nafanya kazi ya kusajili laini za simu mitaani (Freelancer) ila naona Tayari nimeshaanza kuchoka, Ila Mpk sasa Nina akiba yangu ya Shilingi laki saba (700,000), lengo la kupost humu Ni kutafuta jinsi gani ntaweza kuizalisha hiyo pesa niliyonayo na kuleta faida mara dufu.
WAZO LANGU, pamoja na lengo langu
Nilikua nafikiria Nianze na biashara ya Kuuza Boska za kiume, Sidiria, Taiti za wadada, Pamoja na Chupi za kike.
Au
Nianze nitafute eneo mahala la kukodisha, kisha nianze Kufuga kuku wa kienyeji pamoja na Briola.
Je! Nibiashara ipi inayolipa vizuri, licha ya changamoto za kawaida??
Sihitaji matusi, wala Comment za kukejeri please
Nimemaliza Form 6 mwaka juzi ila nikaona nijiegeshe katika baishara kwa muda, kwa sasa nafanya kazi ya kusajili laini za simu mitaani (Freelancer) ila naona Tayari nimeshaanza kuchoka, Ila Mpk sasa Nina akiba yangu ya Shilingi laki saba (700,000), lengo la kupost humu Ni kutafuta jinsi gani ntaweza kuizalisha hiyo pesa niliyonayo na kuleta faida mara dufu.
WAZO LANGU, pamoja na lengo langu
Nilikua nafikiria Nianze na biashara ya Kuuza Boska za kiume, Sidiria, Taiti za wadada, Pamoja na Chupi za kike.
Au
Nianze nitafute eneo mahala la kukodisha, kisha nianze Kufuga kuku wa kienyeji pamoja na Briola.
Je! Nibiashara ipi inayolipa vizuri, licha ya changamoto za kawaida??
Sihitaji matusi, wala Comment za kukejeri please