Khantwe unaijua website ya ajira.co.tz?
Acha roho mbaya wewe ukiwa mzee lazima uwe mchawi
Nakupingayaani wewe automatically you are unsuitable for the job.
Mkuu na swali lake linakujaje, kama hutojali unaweza toa mfano hili tupate uelewaKasome East African Customs management Act. Imeze yote
Ngoja nimwambie ndugu yangu eeh na swali jingine?Kasome East African Customs management Act. Imeze yote
Boss wameshaanza kuita watu kwenye interview?Hello wana JF,
Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA.
Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia?
Asanteni
Hello wana JF,
Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA.
Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia?
Asanteni
Research hua hawatoi kwa watu waliosoma accountsMaswali ni manne tu na muda ni dakika 40.
Research ni swali moja ila haijulikan utaulizwa vipi, kikubwa ni kuwa makini tu na wanachokitaka.
Maswali matatu yanatoka kwenye kada/field yako husika.
hayo labda kwenye oral,yani written wawapendelee hivyo haiwezekani ,na kama haujui current issues zinazohusiana na mambo ya uchumi imekula kwakoShukran !! Hawataweza Kukuuliza by what means customer officer anatakiwa Kufanya bali utauliza what is TRA na kazi Yake kubwa hasa Nn Nchini Na Customer officer kazi Yake Ni ipi?
hayo labda kwenye oral,yani written wawapendelee hivyo haiwezekani ,na kama haujui current issues zinazohusiana na mambo ya uchumi imekula kwako
written ya utumishi au? kama hivyo mlipata bahati sana,mimi nimeshafanya intervw nyingi utumish sijawah kukuta maswali marahisi hivi kwenye written,sana sana nachojua ukienda oral swali la kwanza ni introduce yourself,la pili mention duties za kazi ulioomba baada ya hapo ni maswali mengine ya darasani tuNinasema hivyo Kwasababu Nimeshawahi fanya Written interview