Simu yako ina masafa yanayotumiwa na Vodacom kwenye 3G voda hutumia B(2100)ila haina uwezo wa 4G kama ulivyo ainisha...nimekutana na mtu mwenye simu ya Samsung ikieleza kuwa ina 4G ila kwa hakika haikuwa nayo, simu nyingi zimeanza kuchezewa na si halisi tuwe waangalifu.