Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Habari za jioni wakuu wenzangu,
Naomba msaada wenu wa kujua majina ya hizi fonts (A & B)
Mara ya kwanza nilikua nazitumia katika designing zangu, sasa baada ya kufanya clean Instalation ya window yangu nkashangaa, project zangu nyingi FONTS zimebadirika, nkagundua nilisahau kuzi buckUP ,
na sasa najuta naombeni mnisaidie najina yake ili ni download
Asanteni sana
Naomba msaada wenu wa kujua majina ya hizi fonts (A & B)
Mara ya kwanza nilikua nazitumia katika designing zangu, sasa baada ya kufanya clean Instalation ya window yangu nkashangaa, project zangu nyingi FONTS zimebadirika, nkagundua nilisahau kuzi buckUP ,
na sasa najuta naombeni mnisaidie najina yake ili ni download
Asanteni sana