Nsam
JF-Expert Member
- Oct 25, 2018
- 212
- 290
Naomben msaada hapa nimeachan na mpenz wangu wa muda mrefu na sina mwanamke mwngine nilitarajia nitamuoa mwakan ila kila wakt nikimshirikisha kuhus pete anaonekana hayuko tayar! Nimechoka kuendelea naye
Nimemueleza mengi ya msngi ikiwemo kufungua biashara pamoja katika mahusian yetu ila amekuwa mtu wa kusema hawez
Nilijitoa kwake sana ila yeye alikuwa anachukulia rahisi sana
Nilikuwa mm peekee ndio namtafuta kila wakat nampigia sim mm! Yey anatuma text mda anaotaka huku aksisitza mahusian si mawasiliano!
Pamoja na hayo anapenda sana club na mm si mtu wa club
Ila mara nyingi anataka yake yasikilizwe
Akijua umenunua kitu kwa mama anaswma unampwnda sana mama ako
Unafanya vitu vya maendeleo haonyesh kujal
Nimechukua mda mwngine kuongea naye habadliki
Ila leo nimekamilisha kumwambia tutengana na kila mtu aish na maisha yake
Je kwamm ambaye sina mtu na nahitaj mtu wa mahausian alye serious nifanyaje
Nimemueleza mengi ya msngi ikiwemo kufungua biashara pamoja katika mahusian yetu ila amekuwa mtu wa kusema hawez
Nilijitoa kwake sana ila yeye alikuwa anachukulia rahisi sana
Nilikuwa mm peekee ndio namtafuta kila wakat nampigia sim mm! Yey anatuma text mda anaotaka huku aksisitza mahusian si mawasiliano!
Pamoja na hayo anapenda sana club na mm si mtu wa club
Ila mara nyingi anataka yake yasikilizwe
Akijua umenunua kitu kwa mama anaswma unampwnda sana mama ako
Unafanya vitu vya maendeleo haonyesh kujal
Nimechukua mda mwngine kuongea naye habadliki
Ila leo nimekamilisha kumwambia tutengana na kila mtu aish na maisha yake
Je kwamm ambaye sina mtu na nahitaj mtu wa mahausian alye serious nifanyaje