Magari yapo.
Talking from experience ya miaka 11 iliyopita, nimesafiri sana sana Mbeya-Tabora kwa njia ya Chunya,Manyoni,Sikonge then Tabora mjini na barabara ilikuwa changalawe kwa sehemu kubwa.
Ni safari ngumu ila siku 1 tu mnafika jioni.Ila kwa sasa nadhani ni rahisi kwasababu lami imefika Makongolosi, na nasikia pia kuanzia sikonge mpaka Tabora mjini ni lami pia.Lakini wakati huo ilikuwa ni barabara korofi.Nauli tulilipa 50 wakati huo,itakuwa sasa imepungua kwa sababu ya lami mpaka Makongolosi na sikonge mpaka tabora mjini.
Au waweza zunguka mpaka Dodoma then uunge Tabora,japo ni mzunguko sana.
Nimepamiss sn Tabora.