La Pronto
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 965
- 1,142
Habari zenu wadau
Kuna taa imekua ikiwaka kwenye dashboard ya hii gari yangu corola runx na muda mwingine inazima. Nimeuliza kwa baadhi ya mafundi wanasema hizi gari ndo huwa ziko hivyo (inawezekana ndo utaalam wao umeishia hapo). Hivyo nawaomba wadau kama kuna mtu ashawahi kukutana na hii kitu anidadavulie.
Asanteni.
Kuna taa imekua ikiwaka kwenye dashboard ya hii gari yangu corola runx na muda mwingine inazima. Nimeuliza kwa baadhi ya mafundi wanasema hizi gari ndo huwa ziko hivyo (inawezekana ndo utaalam wao umeishia hapo). Hivyo nawaomba wadau kama kuna mtu ashawahi kukutana na hii kitu anidadavulie.
Asanteni.