Msaada wa kuweka window 10

Msaada wa kuweka window 10

David franco

Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
27
Reaction score
3
Naombeni nisaidie kuweka window 10 nmedownload media creation tools.exe 32bit kwenye window 7 inaniandikia something happen
 
Hakikisha una internet na ukipata error post sentesi nzima ya hio error hapa
 
Kwanini usi download kabisa uwe na image yake ili utengeneze bootable au uweke kweny cd then u boot coz hii inakuwa pia kama akiba yako kwa siku za baadae kuliko kutumia hiyo njia unayotaka mkuu
 
Naombeni nisaidie kuweka window 10 nmedownload media creation tools.exe 32bit kwenye window 7 inaniandikia something happen
Hili tatizo hujitokeza iwapo download ya kwanza haikufanikiwa kwa kutumia Tool husika.

Kuna option mbili ili kufanikisha kupata Windows 10 ISO image
  1. Tumia PC nyingine kufanya download - ila hakikisha una stable internet connection ili ufanikishe download ya ISO. Au
  2. Tumia hizi Direct Download link kwa IDM
Windows 10 Pro - 32Bit : http://bit.ly/1LUaQ2R
 
Chief window yangu sio genuine, nataka kuweka window 10 nafanyaje?
Nipe hatua za kufuata kama mtu asie mtaalam wa it.

Unaweza usiwe na windows genuine ila laptop ikawa na key za windows genuine. Umecheki chini ya laptop hamna keys?
 
Msaada window 10 is not activated naomba mnisaidie activation code
 
download window 10 iso then burn kweny dvd , anza ku install hutopata any kind of error
 
Tazama computer yako iko na bit ipi.. 32 bit au 64 bit

And then fungua kwenye google ukiwa na bundle la kutosha like 3, 4 or 5 Gb.. Then download for free..

Baadae watakuuliza key au Windows 10 is not activated

Download activator/key hapa.. windows10activatordownload.com/

Hakikisha unadownload kwanza
Microsoft.NET framework 3.5 kabla ya kurun KMSpico..

Ya'welcome to ask..! Or don't ask I don't care, but I really like to help

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
download window 10 iso then burn kweny dvd , anza ku install hutopata any kind of error
Mkuu nikihitaji kuinstall wireless drivers kweny window 10 baada ya kuburn window 10 ISO nafanyaje?
 
Unaweza usiwe na windows genuine ila laptop ikawa na key za windows genuine. Umecheki chini ya laptop hamna keys?
Habari Chief!
Hivi nikihitaji kuweka drivers za wireless na bluetooth kwenye window 10 nafanyaje kiongozi?
 
Habari Chief!
Hivi nikihitaji kuweka drivers za wireless na bluetooth kwenye window 10 nafanyaje kiongozi?
Zinakuja built in na windows 10,

Otherwise angalia website ya manufacture wa kifaa chako. Ungeweka model ya hicho kifaa ningekuangalizia.
 
Zinakuja built in na windows 10,

Otherwise angalia website ya manufacture wa kifaa chako. Ungeweka model ya hicho kifaa ningekuangalizia.
Mkuu nimeiona ipo, ina kuna inajitokeza kweny kuingiza window/setup nikipress F12 hainipeleki kwenye options zingine isipokuwa inaniuliza kama kuna tatizo la kurestart pc, nikienda F12 nashindwa kabisa kutambua naendeleaje mana kuna taari3a naziona INFORMATION CONFIGURATION SECURITY BOOT EXIT
 
Back
Top Bottom