Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
Hizo F1 mpaka F12 zinatofautiana baina ya pc na pc unataka kupata kitu gani?Mkuu nimeiona ipo, ina kuna inajitokeza kweny kuingiza window/setup nikipress F12 hainipeleki kwenye options zingine isipokuwa inaniuliza kama kuna tatizo la kurestart pc, nikienda F12 nashindwa kabisa kutambua naendeleaje mana kuna taari3a naziona INFORMATION CONFIGURATION SECURITY BOOT EXIT