Good luck my friend. The trouble with Solwa is that it is like a large bank: too big and too important to be allowed to fail. Anyone who is anybody in this nation must have got Solwa's blessings first - from UWT to NEC to the presidency. You see them only at vote time - they must come and they always come. But our leaders are so daft that their paycheck has always been to be uDC or uKatibu Tarafa somewhere. We are so backward that ufisadi is very cheap - nyumba ya bati, nyama ya bukango, mbuli ya uswezi. Kwa hiyo kung'oa ufisadi si kazi kubwa, anzia mindset. Lakini be careful: it looks ignored, but it is not; it commands the whole bloody Sukumaland from Tabora hadi Bunda, ndo maana Sam 6 anagombana na mwenyekiti darasa la 6. Nakushauri jiunge na CCM upitie huko - gharama ya counter-education ni kubwa mno bado tuko nyuma mno. And don't use the racist card: Waarabu wa kwetu wanakubalika kabisa na wengi wao wala si mafisadi. Try another ploy.
Karibu sana kwenye uwanja wa mapambano. Wamejivua gamba lakini bado ni nyoka tu.Nashukru sana mkuu! Moyoni nimetiwa nguvu.
Hatimaye tunaanza, mwisho tutashinda!
Lazima tu, nijitumbukize humo! Kupitia nguvu ya Mungu na uhauri wa hawa ndugu zangu lazima CDM ipenye solwanina uhakika na ninachokisema hata mbunge wa kasulu mjin. Sisi ndio tuliompa ushaur alikuwa cdm sijui kilichomfanya aende nccr-mageuz lakin mpaka anagombea alikuwa cdm.
Asante JasusiKaribu sana kwenye uwanja wa mapambano. Wamejivua gamba lakini bado ni nyoka tu.
Mwalimu alisema Tanzania itajengwa na wenye moyo. Sasa hivi tunashuhudia utafunaji tu.
Kuanzia Ikulu hadi kwenye madiwani. Bado naamini Tanzania ya neema inawezekana.
Tuwaondoe mafisadi. Tumponde nyoka kichwani. Karibu kwenye uwanja wa mapambano.
Good luck my friend. The trouble with Solwa is that it is like a large bank: too big and too important to be allowed to fail. Anyone who is anybody in this nation must have got Solwa's blessings first - from UWT to NEC to the presidency. You see them only at vote time - they must come and they always come. But our leaders are so daft that their paycheck has always been to be uDC or uKatibu Tarafa somewhere. We are so backward that ufisadi is very cheap - nyumba ya bati, nyama ya bukango, mbuli ya uswezi. Kwa hiyo kung'oa ufisadi si kazi kubwa, anzia mindset. Lakini be careful: it looks ignored, but it is not; it commands the whole bloody Sukumaland from Tabora hadi Bunda, ndo maana Sam 6 anagombana na mwenyekiti darasa la 6. Nakushauri jiunge na CCM upitie huko - gharama ya counter-education ni kubwa mno bado tuko nyuma mno. And don't use the racist card: Waarabu wa kwetu wanakubalika kabisa na wengi wao wala si mafisadi. Try another ploy.
Ndugu imekuwaje mbona umekaa kimya muda mrefu vile wakati hoja yako ilikuwa nzuri? Au hukujua ulichokuwa unataka kufanya? Au mafisadi wamekununua? Epuka magamba bwana!! Wana mbinu nyingi. Lakini inawezekana na wewe unatoka hukohuko na ulikuwa unasumbuliwa na njaa tu. Walipokung'amua wakakufuata na kukununua ukafyata mkia.Wengi wenu ni wale mliokosa njia ya kulia tu wala hamna uchungu na Tanzania yetu. Watu wa aina yenu ni hatari sana na vyama vya upinzani vinatakiwa kuwa makini sana nanyie, viache kukimbilia kuchukua makapi yatafutayo ulaji, makapi yanayofikiri kwa kutumia tumbo vinginevyo vitakufa kifo cha mende. Sio wewe uliyeanzisha ligi ya mpira kule Solwa wewe? kama ni wewe hukuwa na jipya kwa wanasolwa. Hilo Mwarabu alifanya pia kabla yako na halijawaongezea shibe wala heshima wanasolwa!!! Na kuna fununu mwarabu amekuhonga ukaenda kujenga nyumba Mwanza na kufyata mkia!!! Acha zenu hizo Wanasolwa makini watakuja kuikomboa Solwa yao tu. Kama si leo basi kesho. Aluta Continuaaaa!!!! Mapambano bado yanaendelea.Kuja na mkakati mpya na endelevu kama walivyo wanaCDM wengi!!!Nashukru sana mkuu! Moyoni nimetiwa nguvu.Hatimaye tunaanza, mwisho tutashinda!
Ndugu imekuwaje mbona umekaa kimya muda mrefu vile wakati hoja yako ilikuwa nzuri? Au hukujua ulichokuwa unataka kufanya? Au mafisadi wamekununua? Epuka magamba bwana!! Wana mbinu nyingi. Lakini inawezekana na wewe unatoka hukohuko na ulikuwa unasumbuliwa na njaa tu. Walipokung'amua wakakufuata na kukununua ukafyata mkia.Wengi wenu ni wale mliokosa njia ya kulia tu wala hamna uchungu na Tanzania yetu. Watu wa aina yenu ni hatari sana na vyama vya upinzani vinatakiwa kuwa makini sana nanyie, viache kukimbilia kuchukua makapi yatafutayo ulaji, makapi yanayofikiri kwa kutumia tumbo vinginevyo vitakufa kifo cha mende. Sio wewe uliyeanzisha ligi ya mpira kule Solwa wewe? kama ni wewe hukuwa na jipya kwa wanasolwa. Hilo Mwarabu alifanya pia kabla yako na halijawaongezea shibe wala heshima wanasolwa!!! Na kuna fununu mwarabu amekuhonga ukaenda kujenga nyumba Mwanza na kufyata mkia!!! Acha zenu hizo Wanasolwa makini watakuja kuikomboa Solwa yao tu. Kama si leo basi kesho. Aluta Continuaaaa!!!! Mapambano bado yanaendelea.Kuja na mkakati mpya na endelevu kama walivyo wanaCDM wengi!!!
Hatari kuna mgombea humu wa CCM alicomment pale juu aesee kaniulia deal kabisa. MAgamba, Magambarer, magambarest.