Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Logo sina noma, ukinisingizia wanionea.
Mimi ni mtoto wa mama, yule mama ainea.
Jimbo solwa inauma, mafisadi wamelipotezea.
Wananchi wanaumia, lazima niwakomboe.
ninapenda kugombea ubunge, 2015 jimboni solwa.
sitaki umbea, shinyanga nitaikombowa.
Ng'o si CCM mgombea, nitaingia chadema ili kukombolewa
Wanachi wanaumia, lazima niwakomboe.
Kuna mwarabu wa kule, tena darasa la nne.
Hajaizamia shule, hawezi saidia wengine.
nimepitia shule, siyo kama Jumanne.
Wanachi wanaumia, lazima niwakomboe.
Nahitaji maelekezo, nitafanyaje kwa hili.
ili nianze mapendekezo, wanachi wasiwe waswahili.
DR Slaa nipe maelekezo, najua jamvini unawasili.
Kuna ufisadi solwa, nielekezeni nigombee.
Mimi ni mtoto wa mama, yule mama ainea.
Jimbo solwa inauma, mafisadi wamelipotezea.
Wananchi wanaumia, lazima niwakomboe.
ninapenda kugombea ubunge, 2015 jimboni solwa.
sitaki umbea, shinyanga nitaikombowa.
Ng'o si CCM mgombea, nitaingia chadema ili kukombolewa
Wanachi wanaumia, lazima niwakomboe.
Kuna mwarabu wa kule, tena darasa la nne.
Hajaizamia shule, hawezi saidia wengine.
nimepitia shule, siyo kama Jumanne.
Wanachi wanaumia, lazima niwakomboe.
Nahitaji maelekezo, nitafanyaje kwa hili.
ili nianze mapendekezo, wanachi wasiwe waswahili.
DR Slaa nipe maelekezo, najua jamvini unawasili.
Kuna ufisadi solwa, nielekezeni nigombee.