wana jamii naomba msaada wenu nimejiunga na huduma ya crdb internet banking mwezi wa pili sasa lakini kila nikijaribu kufanya malipo au transaction yoyote online inakataa na inapokea taarifa ya authorization failed,sasa cjajua tatizo ni nini
Kwanza kabisa kulogn inakubali kwa kutumia hizo password na ID walizokupa? Kama inakubali, je umeshacreate third part transfer (not very sure by the name) ? Kama inakataa kulogn wasiliana na CRDB customer care kitengo husika. Kama ulishacreate third part transfer harafu inagoma, angalia muda unaofanya hizo transactions zako then unaweza kujaribu tena baada ya kama masaa 2 wakati mwingine ni system ya CRDB inakuwa down. Angalia pia internet yako unayotumia isijekuwa too slow au link unayologn wasije kuchakachua (I mean the link should be secured, https//...) . Mwisho kabisa, jaribu kuwasiliana na Customer care wa kitengo husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.