Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,117
POLICE kupitia kitengo cha CYBER crime ndo wahusika wakuu wa huu mchezoDah nimejifunza mzee
POLICE kupitia kitengo cha CYBER crime ndo wahusika wakuu wa huu mchezoDah nimejifunza mzee
Acha uongoKuna system flani police tz wameuziwa Kam 16m ndo huwa wanatumia ku track imei za simu
Hata Kama network imezimwa simu inaweza patkana
Sasa mkuu Web based system na tracking system kwa kutumi IMEI unaona ni vitu sawa kweli? Kwanza unajua web based system ni kitu gani? Usiongele vitu usivyovijua mkuu mana utakuwa huna tofauti na Mataga.Mbona hiyo Bei ya kawaida tu Kuna company flana ya IT iliunzia vyuo flan systems( web based) na Android app 40m
Maana yake hiyo app lazima iwe na connection na database ya TCRA. Kila unapowasha simu number yako inakuwa registered pamoja na IMEI ya device husikayah jamaa alikuwa na app ambayo akiingiza tu imei inakuja namba ya simu ilowekwa plus all calls ulizokuwa umepiga
Wwe unajua hiyo comment nilikuwa naelezea Nini?? Au una quote tu bila kuelewa tulikuwa tunaelezeana Nini??? Embu ludi usome vizuri mtililiko wa commentSasa mkuu Web based system na tracking system kwa kutumi IMEI unaona ni vitu sawa kweli? Kwanza unajua web based system ni kitu gani? Usiongele vitu usivyovijua mkuu mana utakuwa huna tofauti na Mataga.
vyote ninavyo mkuuUwezo wa kui track simu yako na kuipata ni mkubwa sana kama uko serious. Ukiibiwa/kupoteza simu ya kuanzia laki saba nitafute, kikubwa kumbuka siku(tarehe) iliyopotea/kuibiwa, namba ya simu iliyokuwa inatumia, IMEI yake japo siyo lazima sana mwisho uwe umeshatoa report police na wamekupa RB
yako ilikuwaje ndugKweli kabisa..... hii imenitokea hata mimi
Polisi na wauzaji wote lao moja..... baada ya kufwatilia ndio nikaja gundua michezo yao.
Kuna mtego naandaa wa kukusanya evidences zote halafu niingie TAKUKURU.... siwez nikaumia peke yangu (hasara ya 750k + simu + lockup siku 3)
Simu ikikosa chip hakuna namna unaweza itrack, Tracking system iko dependent na network either local connection via cell towers au internet connection via Wifi etcKuna system flani police tz wameuziwa Kam 16m ndo huwa wanatumia ku track imei za simu
Hata Kama network imezimwa simu inaweza patkana
ni app ila hauto ikuta kwa askari wote, ni wachache tu maalumu wa cyber ndio unakuta wanayoyah jamaa alikuwa na app ambayo akiingiza tu imei inakuja namba ya simu ilowekwa plus all calls ulizokuwa umepiga
aki format simu.. na.kuondoa details zako.. nahisi itaendelea kukuonyesha hivyo na simu anakuwa kaisajili kwa account inginemie yangu kila siku naingia kwenye samsung account jamaa bado ameizimaView attachment 1745671
wana mchezo wengine wa kuziuza nchi jiraniUwezo wa kui track simu yako na kuipata ni mkubwa sana kama uko serious. Ukiibiwa/kupoteza simu ya kuanzia laki saba nitafute, kikubwa kumbuka siku(tarehe) iliyopotea/kuibiwa, namba ya simu iliyokuwa inatumia, IMEI yake japo siyo lazima sana mwisho uwe umeshatoa report police na wamekupa RB
Huyo aliyekuuzia sinu mliwasiliana vipi(kwa njia gani) maana njia hiyo hiyo anaweza kiwa tracked.Nenda police,uwe na risit ya EFD ya hiyo sumsang yako s7edge.Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Miezi miwili nyuma niliingia mtandaoni kupatana na kukutana na samsung m31,ambayo niliipenda na kumtafuta mhusika maana sikuwa na hela yote 500k,maana ilikuwa kama mpya.
Nikamtafuta mhusika na tukakutana kariakoo maana alinambia anaishia mbagala,tukiwa kwenye gari tukakubaliana nimpe 150k na samsung s7edge yangu,jamaa alikuwa ana age around 45years,akawa kama haniamini so nikawasha gari mpka nyumbani akapaona akaridhika tufanye exchange akaondoka.
Jana nikiwa kwenye mihangaiko yangu napigiwa simu na watu wa nyumbani kwenda difenda hyo ya polisi nikachukuliwa mpka polisi ubungo,
Kosa ni simu ya wizi mwenyewe akaja wakati huo nimeshalazwa ndani inshort simu ya watu nilirudisha na hela nyingine zikanitola kiufupi total pamoja na simu imenitoka around 900k.
Msaada ni jinsi ya kumtafuta mwizi wangu maana nilimpa simu yangu,ambayo mpka jana nikiiserach kupitia samsung account yngu inasoma kwenye ile sm sema haijawashwa network
Je ni app gani nzuri au site unayoweza kuitumia ikanisaidia kuitrack kupitia imei namba?
Nimetoa kisa kilichonikuta ili iwe funzo kwa wenzangu kuwa watu sku hizi wanakamatwa sana kwa sababu ya simu za mitandaoni nami jana nikiwa mmoja wapo ni bora ujichange ukanunue tu dukani
Asanteni