Msaada wa kutrack simu kwa imei namba

Msaada wa kutrack simu kwa imei namba

Mbona hiyo Bei ya kawaida tu Kuna company flana ya IT iliunzia vyuo flan systems( web based) na Android app 40m
Sasa mkuu Web based system na tracking system kwa kutumi IMEI unaona ni vitu sawa kweli? Kwanza unajua web based system ni kitu gani? Usiongele vitu usivyovijua mkuu mana utakuwa huna tofauti na Mataga.
 
yah jamaa alikuwa na app ambayo akiingiza tu imei inakuja namba ya simu ilowekwa plus all calls ulizokuwa umepiga
Maana yake hiyo app lazima iwe na connection na database ya TCRA. Kila unapowasha simu number yako inakuwa registered pamoja na IMEI ya device husika
 
Uwezo wa kui track simu yako na kuipata ni mkubwa sana kama uko serious. Ukiibiwa/kupoteza simu ya kuanzia laki saba nitafute, kikubwa kumbuka siku(tarehe) iliyopotea/kuibiwa, namba ya simu iliyokuwa inatumia, IMEI yake japo siyo lazima sana mwisho uwe umeshatoa report police na wamekupa RB
 
Sasa mkuu Web based system na tracking system kwa kutumi IMEI unaona ni vitu sawa kweli? Kwanza unajua web based system ni kitu gani? Usiongele vitu usivyovijua mkuu mana utakuwa huna tofauti na Mataga.
Wwe unajua hiyo comment nilikuwa naelezea Nini?? Au una quote tu bila kuelewa tulikuwa tunaelezeana Nini??? Embu ludi usome vizuri mtililiko wa comment
 
Uwezo wa kui track simu yako na kuipata ni mkubwa sana kama uko serious. Ukiibiwa/kupoteza simu ya kuanzia laki saba nitafute, kikubwa kumbuka siku(tarehe) iliyopotea/kuibiwa, namba ya simu iliyokuwa inatumia, IMEI yake japo siyo lazima sana mwisho uwe umeshatoa report police na wamekupa RB
vyote ninavyo mkuu
 
Kweli kabisa..... hii imenitokea hata mimi

Polisi na wauzaji wote lao moja..... baada ya kufwatilia ndio nikaja gundua michezo yao.

Kuna mtego naandaa wa kukusanya evidences zote halafu niingie TAKUKURU.... siwez nikaumia peke yangu (hasara ya 750k + simu + lockup siku 3 )
yako ilikuwaje ndug
 
Kuna system flani police tz wameuziwa Kam 16m ndo huwa wanatumia ku track imei za simu

Hata Kama network imezimwa simu inaweza patkana
Simu ikikosa chip hakuna namna unaweza itrack, Tracking system iko dependent na network either local connection via cell towers au internet connection via Wifi etc
 
Ndugu yangu kwanza shukuru polisi aliekuja kukuibia ni mwizi mwenye huruma. Polisi wezi wazoefu wanakutisha na kesi ya mauaji. Kwamba aliebiwa simu ameuliwa na watatoa orodha ya vitu vingine kibao vilivyopote.
 
Uwezo wa kui track simu yako na kuipata ni mkubwa sana kama uko serious. Ukiibiwa/kupoteza simu ya kuanzia laki saba nitafute, kikubwa kumbuka siku(tarehe) iliyopotea/kuibiwa, namba ya simu iliyokuwa inatumia, IMEI yake japo siyo lazima sana mwisho uwe umeshatoa report police na wamekupa RB
wana mchezo wengine wa kuziuza nchi jirani
 
Habari,

Niende moja kwa moja kwenye mada,

Miezi miwili nyuma niliingia mtandaoni kupatana na kukutana na samsung m31,ambayo niliipenda na kumtafuta mhusika maana sikuwa na hela yote 500k,maana ilikuwa kama mpya.

Nikamtafuta mhusika na tukakutana kariakoo maana alinambia anaishia mbagala,tukiwa kwenye gari tukakubaliana nimpe 150k na samsung s7edge yangu,jamaa alikuwa ana age around 45years,akawa kama haniamini so nikawasha gari mpka nyumbani akapaona akaridhika tufanye exchange akaondoka.

Jana nikiwa kwenye mihangaiko yangu napigiwa simu na watu wa nyumbani kwenda difenda hyo ya polisi nikachukuliwa mpka polisi ubungo,

Kosa ni simu ya wizi mwenyewe akaja wakati huo nimeshalazwa ndani inshort simu ya watu nilirudisha na hela nyingine zikanitola kiufupi total pamoja na simu imenitoka around 900k.

Msaada ni jinsi ya kumtafuta mwizi wangu maana nilimpa simu yangu,ambayo mpka jana nikiiserach kupitia samsung account yngu inasoma kwenye ile sm sema haijawashwa network

Je ni app gani nzuri au site unayoweza kuitumia ikanisaidia kuitrack kupitia imei namba?

Nimetoa kisa kilichonikuta ili iwe funzo kwa wenzangu kuwa watu sku hizi wanakamatwa sana kwa sababu ya simu za mitandaoni nami jana nikiwa mmoja wapo ni bora ujichange ukanunue tu dukani

Asanteni
Huyo aliyekuuzia sinu mliwasiliana vipi(kwa njia gani) maana njia hiyo hiyo anaweza kiwa tracked.Nenda police,uwe na risit ya EFD ya hiyo sumsang yako s7edge.

Vingenevyo hiyo hela uliyoandaa kuipata hiyo simu inatosha kununua simu nyingine latest.uchaguzi ni wako mkuu.Ingekuwa ni Rwanda ningekushauli uende police maana ungeipata simu yako.hiyo story inaonyesha kama kuna mpango flan pia ulipangwa kabla,na hivyo hata hiyo simi yako imeshaflashiwa IMEI namba tayari
 
Back
Top Bottom