Quavohucho
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 949
- 2,247
Mbona hiyo Bei ya kawaida tu Kuna company flana ya IT iliunzia vyuo flan systems( web based) na Android app 40mM16? Ilinde Usalama Wa Raia?!Mkuu
Mbona hiyo Bei ya kawaida tu Kuna company flana ya IT iliunzia vyuo flan systems( web based) na Android app 40mM16? Ilinde Usalama Wa Raia?!Mkuu
Sasa Taasisi Ya Serikali na Nyeti kama Polisi..wako siriasi Kweli.M16?!?Mbona hiyo Bei ya kawaida tu Kuna company flana ya IT iliunzia vyuo flan systems( web based) na Android app 40m
dah sasa unaanza nifungua akiliPole sana mkuu...
Kuna game umechezewa, ila kausha anza kufanya mambo mengine utafute pesa ya kununua simu mpya kwenye box..
yah jamaa alikuwa na app ambayo akiingiza tu imei inakuja namba ya simu ilowekwa plus all calls ulizokuwa umepigaMkuu hapo lao nimoja yule aliekuuzia simu niwale wale anashirikiana na polishi na hapo iyo simu ishawekwa dukan tena kutafutwa boya mwngne, nakushauri achana nayo omba Mungu tu awalipe kvngne hakika watapata pigo zaidi..
Hebu tueleze we ulitaka iwe sh ngap, maana hyo iliyotajwa hutakiSasa Taasisi Ya Serikali na Nyeti kama Polisi..wako siriasi Kweli.M16?!?
asante mkuuPolee sana bro
nishakutumia mkuuDM me the IP Address
Nilitaka kusema hivi hivi.Mkuu hapo lao nimoja yule aliekuuzia simu niwale wale anashirikiana na polishi na hapo iyo simu ishawekwa dukan tena kutafutwa boya mwngne, nakushauri achana nayo omba Mungu tu awalipe kvngne hakika watapata pigo zaidi..
Sasa si uanzishe nae urafikiri kiaina uweze kupata mawili, matatu...Kuna Mzungu mmoja Arusha anayo, sijui aliitoa wapi, Ila anaitumia kwa mambo yake tu, huwa anatrack wafanyakazi wake wakimdanganya, make Mfanya kazi anaweza tumwa Serengeti akaenda zake kwanza kukaa Karatu.
Anaweza track na kujua kwa sasa uko wapi, au hata ukibadili laini atajua tu,
wanakuambia alieibiwa aliuwawaPole sana Mungu anisamehe nahisi polis wana share kwenye huu mchezo
Jana jiran yangu kalazwa ndani kesi kama yako
Ameambiwa atoe 2.6M kesi iishe
Mkuu hapo lao nimoja yule aliekuuzia simu niwale wale anashirikiana na polishi na hapo iyo simu ishawekwa dukan tena kutafutwa boya mwngne, nakushauri achana nayo omba Mungu tu awalipe kvngne hakika watapata pigo zaidi..
Huyo mzee na hao Polisi lao moja tu kama kweli walikuwa wanaku track kwa nini wasikikamatie kwenye mihamgaiko yako badala yake wamenyosha Nyumbani.
Mkuu pole sana
Ukweli mchungu ni kwamba huyo jamaa na askari lao ni moja
Umechezewa chezo
Kubali yaishe mkuu
Huyo alokuuzia na aliyeripoti lao moja, baada ya kesi wanagawana. Huu ni aina mwingine ya wizi,
Pole sana...
Usikute huyo aliyekuuzia ndiyo kaku seti...
Pole sana Mungu anisamehe nahisi polis wana share kwenye huu mchezo
Jana jiran yangu kalazwa ndani kesi kama yako
Ameambiwa atoe 2.6M kesi iishe
hyo ni mbinu mpya imeanzishwa nowdays kati ya police na baadhi ya raia tena shukuru mungu hawajakuorodheshea laptop na kioo cha gar kimevunjwaa
Kweli kabisa..... hii imenitokea hata mimiHabari,
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Miezi miwili nyuma niliingia mtandaoni kupatana na kukutana na samsung m31,ambayo niliipenda na kumtafuta mhusika maana sikuwa na hela yote 500k,maana ilikuwa kama mpya.
Nikamtafuta mhusika na tukakutana kariakoo maana alinambia anaishia mbagala,tukiwa kwenye gari tukakubaliana nimpe 150k na samsung s7edge yangu,jamaa alikuwa ana age around 45years,akawa kama haniamini so nikawasha gari mpka nyumbani akapaona akaridhika tufanye exchange akaondoka.
Jana nikiwa kwenye mihangaiko yangu napigiwa simu na watu wa nyumbani kwenda difenda hyo ya polisi nikachukuliwa mpka polisi ubungo,
Kosa ni simu ya wizi mwenyewe akaja wakati huo nimeshalazwa ndani inshort simu ya watu nilirudisha na hela nyingine zikanitola kiufupi total pamoja na simu imenitoka around 900k.
Msaada ni jinsi ya kumtafuta mwizi wangu maana nilimpa simu yangu,ambayo mpka jana nikiiserach kupitia samsung account yngu inasoma kwenye ile sm sema haijawashwa network
Je ni app gani nzuri au site unayoweza kuitumia ikanisaidia kuitrack kupitia imei namba?
Nimetoa kisa kilichonikuta ili iwe funzo kwa wenzangu kuwa watu sku hizi wanakamatwa sana kwa sababu ya simu za mitandaoni nami jana nikiwa mmoja wapo ni bora ujichange ukanunue tu dukani
Asanteni
)