MTAU JR
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 216
- 307
Habarini wana ndugu humu jf mwenye kujua dawa ya kupunguza au kumaliza maumivu ya hichi kialama anisaidie
Hapo mwanzoni nilijaribu kupata ushauri kutoka kwa docta moja pale mhimbili akashauri kifanyiwe operation kikatwe then kipigwe sindano kweli tulifanya ivo
Ila baada ya mda kialama kiliongezeka na sasa maumivu yamekuwa makali sana kiasi kwamba usingizi ni wakutafta kwa tochi hivyo nimekuja hapa jf naamini wapo watu watanipa mawazo mbadala
Kwa sasa naombeni mnisaidie dawa ambayo itapunguza maumivu kwasabu uwwzekano wa kukimaliza nahisi nimesha kata tamaa
Ushauri wenu ni muhimu sana wana ndugu
Natanguliza shukurani ....
Hapo mwanzoni nilijaribu kupata ushauri kutoka kwa docta moja pale mhimbili akashauri kifanyiwe operation kikatwe then kipigwe sindano kweli tulifanya ivo
Ila baada ya mda kialama kiliongezeka na sasa maumivu yamekuwa makali sana kiasi kwamba usingizi ni wakutafta kwa tochi hivyo nimekuja hapa jf naamini wapo watu watanipa mawazo mbadala
Kwa sasa naombeni mnisaidie dawa ambayo itapunguza maumivu kwasabu uwwzekano wa kukimaliza nahisi nimesha kata tamaa
Ushauri wenu ni muhimu sana wana ndugu
Natanguliza shukurani ....