Msaada wa kupata OTP number kutoka tigo

Msaada wa kupata OTP number kutoka tigo

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,676
Habari Wakuu,

Nimekuwa na Shida Ya Kupata OTP number Kutoka Bank kuja kwenye Sim Card Yangu ya Tigo, Ninatumia Tigo nikiwa Nje ya Tanzania Baada Ya Kufanya ROAMING, Lakini Nakuwa napata Changamoto Ya Kupata OTP namba Kutoka Bank Iliyo Nitumia Namba.

Kama Kuna Msaada Wa kitu cha Kufanya Naomba Msaada Niweze kupata Hii SMS yenye OTP number.
 
Habari Wakuu,

Nimekuwa na Shida Ya Kupata OTP number Kutoka Bank kuja kwenye Sim Card Yangu ya Tigo, Ninatumia Tigo nikiwa Nje ya Tanzania Baada Ya Kufanya ROAMING, Lakini Nakuwa napata Changamoto Ya Kupata OTP namba Kutoka Bank Iliyo Nitumia Namba.

Kama Kuna Msaada Wa kitu cha Kufanya Naomba Msaada Niweze kupata Hii SMS yenye OTP number.
Mkuu pole ila kifupi huu mfumo wa OTP(one time pin) wamekosea sana awali nilikua nauwezo wa ku access line zangu upande wa huduma za kifesha ata kama ziko offline kupitia app zake nilizohifadhi kwa simu, sasa naona baadhi yao halotel akiwemo anadai otp kwa kila muamala niufanyao wa kutoa pesa meanz kwamba chip isipokua online hutoki pesa. SASA MGUMO HUU SIJAUPENDA KWANI UNATUTESA SANA WATU
 
Habari Wakuu,

Nimekuwa na Shida Ya Kupata OTP number Kutoka Bank kuja kwenye Sim Card Yangu ya Tigo, Ninatumia Tigo nikiwa Nje ya Tanzania Baada Ya Kufanya ROAMING, Lakini Nakuwa napata Changamoto Ya Kupata OTP namba Kutoka Bank Iliyo Nitumia Namba.

Kama Kuna Msaada Wa kitu cha Kufanya Naomba Msaada Niweze kupata Hii SMS yenye OTP number.
Hapo naona kama hawajaweka alternative kwa mtu ambaye muda huo hana laini husika.
Hivyo OTP namba kuzipata pasi laini husika ni kisanga
 
Hapo naona kama hawajaweka alternative kwa mtu ambaye muda huo hana laini husika.
Hivyo OTP namba kuzipata pasi laini husika ni kisanga
Na ndio waliopo haribu wamesahau kua ilikua ni simple tu kua access vitu vyetu kokote kule tuliko better wangeweka ata security question
 
Na ndio waliopo haribu wamesahau kua ilikua ni simple tu kua access vitu vyetu kokote kule tuliko better wangeweka ata security question
Huenda wao wanafanya hivyo wakijua usalama umeongezeka ila hapo wamesahau itakuwa ni usumbufu na kuwafikisha wengine wasio kuwa na access na simu.
 
Mkuu pole ila kifupi huu mfumo wa OTP(one time pin) wamekosea sana awali nilikua nauwezo wa ku access line zangu upande wa huduma za kifesha ata kama ziko offline kupitia app zake nilizohifadhi kwa simu, sasa naona baadhi yao halotel akiwemo anadai otp kwa kila muamala niufanyao wa kutoa pesa meanz kwamba chip isipokua online hutoki pesa. SASA MGUMO HUU SIJAUPENDA KWANI UNATUTESA SANA WATU
ni kwasababu za kiusalama wa fedha zako.
 
Back
Top Bottom