Srinivan Ramanujan
Senior Member
- Nov 1, 2019
- 159
- 201
Habari
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, ni mhitimu wa shahada ya Uhandisi wa Mawasiliano (Bsc in Telecommunications Engineering) mwaka huu, 2019 mwezi wa saba.
Dhumuni la uzi huu ni kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki wa familia hii ya JamiiForums msaada wa mahala pa kujitolea hata bila malipo.
Nina ufahamu kiasi wa mambo yafuatayo:-
1. Networking
2.Data base (oracle)
3.Programming (c++, java na Php)
Ni nitumaini langu kuwa ombi langu limefika mahala sahihi . Asanteni.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, ni mhitimu wa shahada ya Uhandisi wa Mawasiliano (Bsc in Telecommunications Engineering) mwaka huu, 2019 mwezi wa saba.
Dhumuni la uzi huu ni kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki wa familia hii ya JamiiForums msaada wa mahala pa kujitolea hata bila malipo.
Nina ufahamu kiasi wa mambo yafuatayo:-
1. Networking
2.Data base (oracle)
3.Programming (c++, java na Php)
Ni nitumaini langu kuwa ombi langu limefika mahala sahihi . Asanteni.