yoassilas1213
New Member
- Dec 17, 2016
- 1
- 0
Waungwana naombeni msaada kuhusu jinsi ya kupata google adsens, nimejaribu wapi nimefwata masharti yao lakini mwisho wa siku nimeshindwa kujiunga plz mwenye ako na roho ya huruma anisaidie na utazidishiwa.
Asante.
Weka link kuoneMi nimefanikiwa jana bt ukiniuliza nilifanyaje hadi nimefanikiwa hata sijui
Zotekali.com
Hata nawaza tu hapa mkuuWataiblock muda wowote kwakuwa unatumia lugha ya kiswahili. Contents zimekaa vizuri tatizo language
Hata nawaza tu hapa mkuu
ni kweli ndio nasubiri hatma itakavyoamuaGoogle wako makini sana unaweza kujiona mjanja , wakakuacha adi kwenye malipo wakablock payment.
hii je inaweza kufungiwa? sayaricom.comGoogle wako makini sana unaweza kujiona mjanja , wakakuacha adi kwenye malipo wakablock payment.
Hapa umewaweza naona umechanganya lugha sina cha kusema kwakwel. Nice templatehii je inaweza kufungiwa? sayaricom.com