Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 604
- 218
Hello wa kuu za muda huu nimeshindwa kupata diagnosis kwenye hii case. Samahani kuna ili tatzo ana vipele vidogo vidogo kwenye corona grands penis ambavyo ni vidogo vidogo sana haviwash, wala havitoi maji,wala kuuma.
Vina zaid ya miaka 4 ila mwez wa kwanza alienda hospital wakamchukua damu na kumchunguza magonjwa ya zinaa aliambiwa hana ila walimpa cream(jina halijui na doxy) akatumia before vilikuwa vimezunguruka uume yaan eneo zima la corona grands ila kwa sasa vimepungua na vimepakia eneo la juu tu huku chin vimekauka na kupotea baada ya kuona hv alienda tena chukua dawa zile zile ambazo aliambiwa ila havikuweza kumaliza wala kupunguza hata kidogo kwenye hilo eneo lilobakia na vilianza baada ya wiki moja alipo fanya sex na mpenz wake wa kipind hiko i mean mpenzi wake wa mwaka 2017.
Kwa hayo maelezo mm nilikuwa nafikilia ni pearly penile papules sasa kanichanganya alivyosema ametumia doxy vimepungua. Nombeni msaada wa diagnosis if possible hata treatment kama ipo
Vina zaid ya miaka 4 ila mwez wa kwanza alienda hospital wakamchukua damu na kumchunguza magonjwa ya zinaa aliambiwa hana ila walimpa cream(jina halijui na doxy) akatumia before vilikuwa vimezunguruka uume yaan eneo zima la corona grands ila kwa sasa vimepungua na vimepakia eneo la juu tu huku chin vimekauka na kupotea baada ya kuona hv alienda tena chukua dawa zile zile ambazo aliambiwa ila havikuweza kumaliza wala kupunguza hata kidogo kwenye hilo eneo lilobakia na vilianza baada ya wiki moja alipo fanya sex na mpenz wake wa kipind hiko i mean mpenzi wake wa mwaka 2017.
Kwa hayo maelezo mm nilikuwa nafikilia ni pearly penile papules sasa kanichanganya alivyosema ametumia doxy vimepungua. Nombeni msaada wa diagnosis if possible hata treatment kama ipo