Msaada wa kuondoa Two-step verification code

Msaada wa kuondoa Two-step verification code

msuya4real

Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
76
Reaction score
27
Naomba msaada wa kuondoa two step verification code kwenye WhatsApp ktk simu ya samsung J7 prime plus, Hii ni baada ya kurestore simu hiyo ambayo niliinunua kwa mtu ila aliyeniuzia sijachukua namba yake, Kila nikidownload ikifika htua ya mwisho inaihitaji pin za two step verification code na sizijui
 
Ninavoelewa unaweza ku skip hiyo step,haijaonesha icon ya kubonyeza ili u skip kama huitaji two step verification?
 
Fafanua zaidi unachofanya, hiyo 2 step verification inakuja wakati gani na unajuaje kama ni ya WhatsApp?
 
Fafanua zaidi unachofanya, hiyo 2 step verification inakuja wakati gani na unajuaje kama ni ya WhatsApp?
Ni kwamba hii simu nilinunua kwa mtu kwa hiyo nikaamua kuirestore ili niweke e-mail yangu, kwa hiyo nikidownload whatsapp nikiingiza namba ninatumiwa msg ya zile code sita ila nikishaingiza hizo code hatua inayofuata haifunguki bali naona mtu aliyekuwa anatumia hii simu aliweka security code ambayo inakuja as a two step verification, ambayo hizo code mmi sizijui na mtu aliyeniuzia sijchukua namba yake na hakuna option ya kuskip mpka uingize hizo code ndo unaweza kufanya unable ya two step verification code
 
Fafanua zaidi unachofanya, hiyo 2 step verification inakuja wakati gani na unajuaje kama ni ya WhatsApp?
Ni kwamba hii simu nilinunua kwa mtu kwa hiyo nikaamua kuirestore ili niweke e-mail yangu, kwa hiyo nikidownload whatsapp nikiingiza namba ninatumiwa msg ya zile code sita ila nikishaingiza hizo code hatua inayofuata haifunguki bali naona mtu aliyekuwa anatumia hii simu aliweka security code ambayo inakuja as a two step verification, ambayo hizo code mmi sizijui na mtu aliyeniuzia sijchukua namba yake na hakuna option ya kuskip mpka uingize hizo code ndo unaweza kufanya unable ya two step verification code
 
Ninavoelewa unaweza ku skip hiyo step,haijaonesha icon ya kubonyeza ili u skip kama huitaji two step verification?
Haijaonyesha maana haifunguki hadi nipate hizo code ndo naweza kuziingiza na kuanza kupata option mbalimbali
 
2 step verification inawashwa kwa namba ya WhatsApp na sio kwa simu, kwani wewe unajaribu kutumia namba ya huyo aliyekuuzia simu?

Hiyo 2 step imewashwa kwenye namba yako. Wakati unaiwasha wanakuomba email na unaweza kuzima hiyo pin kwa kutumia email waliyokutumia.
 
Mimi sijamuelewa mleta uzi. Hiyo 2 step verification kwenye whatsapp inamuhusuje aliyekuuzia simu wakati umesema ume-restore to factory settings?
Kwa uelewa wangu ninaona kwamba wewe uliweka 2 step verification kwenye namba yako ya whatsapp ila umesahau tu.
Jaribu kubadilisha namba yako nyingine. Pole sana
 
Unaweza kusubiri siku 7 bila kutumia WhatsApp hii itafuta hiyo PIN pamoja na msg zako zote.
 
2 step verification inawashwa kwa namba ya WhatsApp na sio kwa simu, kwani wewe unajaribu kutumia namba ya huyo aliyekuuzia simu?

Hiyo 2 step imewashwa kwenye namba yako. Wakati unaiwasha wanakuomba email na unaweza kuzima hiyo pin kwa kutumia email waliyokutumia.
Situmii nmba ya huyo aliyeniuzia simu bali natumi namb yangu
 
Hapo kazi ipo inabidi urudi kwa jamaaaa aliyokuuzia hyo simu ili akutajie verfication code zake
Mwenye simu hahusiki kwenye 2 step ya WhatsApp maana inawekwa kwenye namba ya simu na sio kwenye simu yenyewe. Hiyo SIM card akiweka kokote italeta hiyo 2 step, inabidi asubiri tu siku 7 wataifuta wenyewe WhatsApp kisha unaweza kujiunga upya.
 
2675b7050c79eb9aa028c79bd6bf97a7.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom