msaada wa kuondoa pop ups katika android

adden

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
7,035
15,540
wataalam habari zenu
naomba msaada simu kila saa inaleta pop up katika screen nime disable kila kitu ila nikiwasha data tu zinakuja nikiclose baadae inakuja ingine saa ingine zinakuja hadi picha za pornografia naogoa hata mtu akishika simu yangu inaweza kumtokea.naomba msaada nifanyaje maana simu mpya haina hata wiki nafikiria niifanyie hata factory reset maana inaniboa sana
 
wataalam habari zenu
naomba msaada simu kila saa inaleta pop up katika screen nime disable kila kitu ila nikiwasha data tu zinakuja nikiclose baadae inakuja ingine saa ingine zinakuja hadi picha za pornografia naogoa hata mtu akishika simu yangu inaweza kumtokea.naomba msaada nifanyaje maana simu mpya haina hata wiki nafikiria niifanyie hata factory reset maana inaniboa sana
Root sim yako kisha install app ya LUCKY PATCHER ukimalz hivo vitu viwili nistue nikuelekeze jinsi ya kuzima sources zote za hayo ma pop up ads, kamwe hautaona mauza uza kama hyo tena kwenye device yko.

NB: Root inapoteza warrant ya kifaa chako.
 
Back
Top Bottom