Asante mkuu kassimneema . Ngoja nikajaribu ile alternative ya kwanza, ikifeli basi tutawasilina.Ukikwama kabisa kama upo dar niite nije kukufanyia fumigation.... Hii hutojuta n utasahau hiyo kero
Asante The choosen One nitajaribu ili nipambane na hawa jamaa.Tafuta oil chafu paka hizo mbao utokaa uwaone tena
Sawa mkuuAsante The choosen One nitajaribu ili nipambane na hawa jamaa.
Mkuu hiyo avatar vipi? Maana hapa mate yanidondokaUkikwama kabisa kama upo dar niite nije kukufanyia fumigation.... Hii hutojuta n utasahau hiyo kero
Siiangushi nawafuga mkuu yaani navuna kama wafuga samaki kule c.h.a.t.ohaya bhana. Sasa ukiinunua utaivunja kw ajili ya kitoweo cha siku mbili?